Katika uhusiano wa ndoa, suala la kutotoshelezwa kimapenzi ni jambo linaloweza kumgusa mtu yeyote, na mara nyingi halimaanishi kwamba mwenzi wako hafai au hashughuliki. Wakati mwingine, hata akiwa ...
Dar es Salaam. Wakati Bunge la Umoja wa Ulaya (EU) likitarajiwa kupitisha azimio lake leo Novemba 27, 2025 la kuzuia fedha zilizopangwa kutolewa kwa Tanzania mwaka 2026, Serikali imeeleza kwamba ...
Dar es Salaam. Upelelezi wa kesi ya kughushi vibali vya kumiliki silaha inayowakabili watu tisa wakiwemo maofisa sita wa Jeshi la Polisi, umekamilika. Wakili wa Serikali, Roida Mwakamele leo Jumatatu ...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema kesho Jumanne, Desemba 2, 2025, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atazungumza na wazee wa mkoa huo. Akizungumza na waandishi wa habari leo ...
Nigeria. Mahakama nchini Nigeria imemkuta na hatia ya ugaidi na mashtaka mengine kiongozi wa vuguvugu la kujitenga, Nnamdi Kanu kutokana na kesi iliyoendeshwa kwa zaidi ya miaka kumi. Kiongozi huyo ...
Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imetupilia mbali shauri la maombi ya kuidharau Mahakama hiyo lililokuwa linawakabili Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, John Heche, Katibu Mkuu ...
Dar es Salaam. Waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima la Askofu Josephat Gwajima leo Novemba 30, 2025 wamefanya ibada ya kwanza ya Jumapili, ikiwa imepita zaidi ya miezi sita tangu kufutiwa usajili.
Mbeya. Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Mwalimu wa Shule ya Awali ya 'Saint Clemence', Clemence Mwandambo mkazi wa Uzunguni A jijini humo kwa tuhuma za uchochezi. Mwandambo ambaye amekuwa ...
Marekani. Kuwa gerezani siyo mwisho wa malengo, mtandao wa TMZ umenasa picha na video za gwiji wa muziki wa hiphop duniani, Sean Combs maarufu P Diddy akifanya shughuli zake za kawaida akiwa gerezani.
Arusha. Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, imewaachia huru na kuwafutia mashtaka ya uhaini washtakiwa 105 kati ya 100 waliokuwa wakishtakiwa katika kesi tatu tofauti. Miongoni mwa walioachiwa ni watoto ...
Simba imefikisha mechi nne mfululizo bila kushinda kwenye uwanja wa nyumbani baada ya jana kuchapwa bao 1-0 na Petro de Luanda ya Angola kwenye mchezo wa kwanza wa makundi wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Timu ya taifa ya vijana ya Tanzania chini ya Umri wa miaka 17 ‘Serengeti Boys’ imetwaa ubingwa wa mashindano ya kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika kwa umri huo (AFCON U17) baada ya kuichapa ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results