Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Kwa ...
Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Katika ...
Kocha Mecky Maxime ndiye mrithi rasmi wa Mbeya City ya Mbeya akichukua mikoba ya Malale Hamsini aliyetimuliwa mwanzoni mwa wiki hii. Maxime ambaye amewahi kuzinoa Kagera Sugar na Dodoma Jiji, ataanza ...
Dar es Salaam. Tanzania inatarajiwa kuanza kuandaa Tuzo za Afrika zinazolenga kuzitambua kampuni zinazofanya vizuri katika sekta ya ujenzi na nyingine zinazohudumu katika mnyororo wa thamani. Tuzo ...
Arusha. Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, imewaachia huru na kuwafutia mashtaka ya uhaini washtakiwa 105 kati ya 100 waliokuwa wakishtakiwa katika kesi tatu tofauti. Miongoni mwa walioachiwa ni watoto ...
Dar es Salaam. Uamuzi wa Simba kuachana ghafla na Meneja wake Dimitar Pantev ambaye alikuwa mkuu wa benchi la ufundi, leo Jumanne, Desemba 2, 2025 unatajwa kuchangiwa na sababu tatu. Kupitia taarifa ...
Timu ya taifa ya vijana ya Tanzania chini ya Umri wa miaka 17 ‘Serengeti Boys’ imetwaa ubingwa wa mashindano ya kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika kwa umri huo (AFCON U17) baada ya kuichapa ...
Dar es Salaam. Waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima la Askofu Josephat Gwajima leo Novemba 30, 2025 wamefanya ibada ya kwanza ya Jumapili, ikiwa imepita zaidi ya miezi sita tangu kufutiwa usajili.
Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imetupilia mbali shauri la maombi ya kuidharau Mahakama hiyo lililokuwa linawakabili Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, John Heche, Katibu Mkuu ...
Dar es Salaam. Wakati Bunge la Umoja wa Ulaya (EU) likitarajiwa kupitisha azimio lake leo Novemba 27, 2025 la kuzuia fedha zilizopangwa kutolewa kwa Tanzania mwaka 2026, Serikali imeeleza kwamba ...
Marekani. Kuwa gerezani siyo mwisho wa malengo, mtandao wa TMZ umenasa picha na video za gwiji wa muziki wa hiphop duniani, Sean Combs maarufu P Diddy akifanya shughuli zake za kawaida akiwa gerezani.
Kwa mara ya kwanza katika historia, Yanga imeibuka na ushindi katika mechi ya kwanza ya hatua ya makundi ya mashindano ya Klabu Afrika baada ya leo, Jumamosi, Novemba 22, 2025 kuibuka na ushindi wa ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results